Kutoka 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nalo kusanyiko lote la wana wa Israeli likaondoka katika nyika ya Sini+ hatua kwa hatua, kulingana na agizo la Yehova,+ nao wakapiga kambi katika Refidimu.+ Lakini hapakuwa na maji ya kunywa kwa ajili ya watu. Hesabu 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakaanza kuondoka kwa mara ya kwanza, kulingana na agizo la Yehova kupitia Musa.+
17 Nalo kusanyiko lote la wana wa Israeli likaondoka katika nyika ya Sini+ hatua kwa hatua, kulingana na agizo la Yehova,+ nao wakapiga kambi katika Refidimu.+ Lakini hapakuwa na maji ya kunywa kwa ajili ya watu.