8 Naye Musa akaendelea kusema: “Itakuwa hivyo wakati ambapo Yehova atawapa jioni nyama ya kula na asubuhi mkate wa kuwashibisha, kwa sababu Yehova amesikia manung’uniko yenu mnayonung’unika juu yake. Na sisi ni nani? Manung’uniko yenu si juu yetu, bali ni juu ya Yehova.”+