Kutoka 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa kuhani+ wa Midiani alikuwa na binti saba, na kama kawaida wakaja kuteka maji na kuijaza mifereji ili kulinywesha kundi la baba yao.+ Kutoka 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya hayo Musa akakubali kukaa na mtu huyo, naye akampa Musa Sipora+ binti yake.
16 Sasa kuhani+ wa Midiani alikuwa na binti saba, na kama kawaida wakaja kuteka maji na kuijaza mifereji ili kulinywesha kundi la baba yao.+