36 Na wale wanaume ambao Musa aliwatuma kuipeleleza nchi na ambao, waliporudi, walianza kulifanya kusanyiko lote linung’unike juu yangu, kwa kuleta habari mbaya juu ya nchi hiyo,+
9 Walipoenda kwenye bonde la mto la Eshkoli+ na kuiona nchi, ndipo walipowavunja moyo wana wa Israeli, ili wasiingie katika nchi ambayo kwa hakika Yehova angewapa.+