-
Yoshua 6:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 na makuhani saba waliochukua pembe saba za kondoo-dume mbele ya sanduku la Yehova walikuwa wanatembea, wakizipiga pembe kwa mfululizo, na kile kikosi kilichotayarishwa kwa ajili ya vita kilikuwa kinatembea mbele yao, huku kile kikosi cha nyuma kikifuata sanduku la Yehova nazo pembe zilikuwa zikipigwa kwa mfululizo.+
-