Hesabu 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wa Zabuloni,+ Eliabu+ mwana wa Heloni; Hesabu 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Katika siku ya tatu kulikuwa na mkuu wa wana wa Zabuloni, Eliabu+ mwana wa Heloni. Hesabu 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Zabuloni kulikuwa na Eliabu mwana wa Heloni.+