Zaburi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Makosa—ni nani anayeweza kuyatambua?+Unitangaze kuwa sina hatia ya dhambi zilizofichwa.+ Matendo 17:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+
30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+