1 Samweli 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi sasa simameni, nami nitawahukumu ninyi mbele za Yehova na kuwasimulia matendo yote ya uadilifu+ ya Yehova ambayo amewafanyia ninyi na mababu zenu.
7 Basi sasa simameni, nami nitawahukumu ninyi mbele za Yehova na kuwasimulia matendo yote ya uadilifu+ ya Yehova ambayo amewafanyia ninyi na mababu zenu.