Hesabu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 wa Simeoni,+ Shelumieli+ mwana wa Zurishadai; Hesabu 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Katika siku ya tano kulikuwa na mkuu wa wana wa Simeoni, Shelumieli+ mwana wa Zurishadai. Hesabu 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Simeoni+ kulikuwa na Shelumieli+ mwana wa Zurishadai.