Mambo ya Walawi 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kila mwanamume+ kati ya wana wa Haruni ataula. Ni posho kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mpaka wakati usio na kipimo+ katika vizazi vyenu vyote. Chochote kitakachoyagusa kitakuwa kitakatifu.’” Mambo ya Walawi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Litaliwa na kila mwanamume kati ya makuhani.+ Katika mahali patakatifu litaliwa. Ni kitu kitakatifu zaidi.+
18 Kila mwanamume+ kati ya wana wa Haruni ataula. Ni posho kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mpaka wakati usio na kipimo+ katika vizazi vyenu vyote. Chochote kitakachoyagusa kitakuwa kitakatifu.’”
6 Litaliwa na kila mwanamume kati ya makuhani.+ Katika mahali patakatifu litaliwa. Ni kitu kitakatifu zaidi.+