Hesabu 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nalo kusanyiko lote likapata kuona kwamba Haruni alikuwa amekata pumzi, na nyumba yote ya Israeli ikaendelea kumlilia Haruni siku 30.+ Kumbukumbu la Torati 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na wana wa Israeli wakamlilia Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kwa siku 30.+ Mwishowe siku za kulia za kipindi cha kumwombolezea Musa zikamalizika.
29 Nalo kusanyiko lote likapata kuona kwamba Haruni alikuwa amekata pumzi, na nyumba yote ya Israeli ikaendelea kumlilia Haruni siku 30.+
8 Na wana wa Israeli wakamlilia Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kwa siku 30.+ Mwishowe siku za kulia za kipindi cha kumwombolezea Musa zikamalizika.