Mwanzo 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na Wahori+ katika mlima wao wa Seiri,+ mpaka El-parani,+ ulioko nyikani. Mwanzo 36:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hawa ndio wana wa Seiri, yule Mhori, wakaaji wa nchi hiyo:+ Lotani na Shobali na Sibeoni na Ana+ 1 Mambo ya Nyakati 1:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na wana wa Lotani walikuwa Hori na Homamu. Na dada ya Lotani alikuwa Timna.+