38 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia wajifanyie upindo wenye nyuzinyuzi kwenye miisho ya nguo zao katika vizazi vyao vyote, nao wataweka uzi wa bluu juu ya upindo wenye nyuzinyuzi wa miisho ya nguo,+
5 Kazi zote wanazozifanya wao huzifanya ili watazamwe na watu;+ kwa maana wanapanua vibweta+ vyenye maandiko ambavyo wao huvaa kama ulinzi, na kuongeza ukubwa wa pindo zenye nyuzinyuzi+ za mavazi yao.