Hesabu 15:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia wajifanyie upindo wenye nyuzinyuzi kwenye miisho ya nguo zao katika vizazi vyao vyote, nao wataweka uzi wa bluu juu ya upindo wenye nyuzinyuzi wa miisho ya nguo,+ Kumbukumbu la Torati 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Utajifanyia shada kwenye miisho minne ya mavazi yako ambayo wewe hujifunika nayo.+
38 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia wajifanyie upindo wenye nyuzinyuzi kwenye miisho ya nguo zao katika vizazi vyao vyote, nao wataweka uzi wa bluu juu ya upindo wenye nyuzinyuzi wa miisho ya nguo,+