33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+
12 ufalme wote wa Ogu+ katika Bashani, aliyetawala katika Ashtarothi na katika Edrei+—yeye ndiye aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu+—kwa kuwa Musa aliwapiga na kuwanyang’anya nchi na kuwafukuza.+