Kutoka 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 utafanya utumishi nawe uifanye kazi yako yote kwa siku sita.+ Kutoka 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Siku sita utafanya kazi yako;+ lakini siku ya saba utaacha, ili ng’ombe-dume wako na punda wako wapate kupumzika na mwana wa kijakazi wako na mkaaji mgeni wapate kujiburudisha.+ Kutoka 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Siku sita utafanya kazi, bali siku ya saba utaishika sabato.+ Wakati wa kulima na wakati wa kuvuna utaishika sabato.+
12 “Siku sita utafanya kazi yako;+ lakini siku ya saba utaacha, ili ng’ombe-dume wako na punda wako wapate kupumzika na mwana wa kijakazi wako na mkaaji mgeni wapate kujiburudisha.+
21 “Siku sita utafanya kazi, bali siku ya saba utaishika sabato.+ Wakati wa kulima na wakati wa kuvuna utaishika sabato.+