9“Sikia, Ee Israeli, leo unavuka Yordani+ uingie ndani na kuyafukuza mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko wewe,+ majiji makubwa na yenye ngome zinazofika mbinguni,+
11 “Piteni katikati ya kambi na kuwaamuru watu, mkisema, ‘Jitayarishieni chakula, kwa kuwa siku tatu kutoka sasa mtavuka huu mto Yordani ili kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi mpate kuimiliki.’”+