Yoshua 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na wewe—waamuru+ makuhani wanaolichukua sanduku la agano, ukisema, ‘Mara mtakapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, simameni+ katika Yordani.’” Yoshua 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakati huohuo wale makuhani waliolichukua sanduku la agano la Yehova wakaendelea kusimama bila kusonga kwenye nchi kavu+ katikati ya Yordani, huku Israeli wote wakivuka juu ya nchi kavu,+ mpaka taifa zima lilipokuwa limemaliza kuvuka Yordani.
8 Na wewe—waamuru+ makuhani wanaolichukua sanduku la agano, ukisema, ‘Mara mtakapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, simameni+ katika Yordani.’”
17 Wakati huohuo wale makuhani waliolichukua sanduku la agano la Yehova wakaendelea kusimama bila kusonga kwenye nchi kavu+ katikati ya Yordani, huku Israeli wote wakivuka juu ya nchi kavu,+ mpaka taifa zima lilipokuwa limemaliza kuvuka Yordani.