Mwanzo 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa kuwa nchi yote ambayo unaitazama, nitakupa wewe na uzao wako hata wakati usio na kipimo.+ Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Mwanzo 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+ Mwanzo 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atakupa baraka ya Abrahamu,+ wewe na uzao wako pamoja nawe,+ ili upate kumiliki nchi ya makao yako ya kigeni,+ ambayo Mungu amempa Abrahamu.”+
18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+
3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+
4 Naye atakupa baraka ya Abrahamu,+ wewe na uzao wako pamoja nawe,+ ili upate kumiliki nchi ya makao yako ya kigeni,+ ambayo Mungu amempa Abrahamu.”+