Yoshua 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye wale wana wengine wa Israeli wakasikia+ ikisemwa: “Tazama! Wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu katika mpaka wa nchi ya Kanaani katika maeneo ya Yordani upande ulio miliki ya wana wa Israeli.”
11 Baadaye wale wana wengine wa Israeli wakasikia+ ikisemwa: “Tazama! Wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wamejenga madhabahu katika mpaka wa nchi ya Kanaani katika maeneo ya Yordani upande ulio miliki ya wana wa Israeli.”