8 Kisha watu wote wakajibu kwa pamoja na kusema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+ Mara moja Musa akarudi na kumwambia Yehova maneno ya watu.+
18 Na Yehova akafukuza vikundi vyote vya watu mbele yetu,+ ndiyo, Waamori, waliokaa mbele yetu katika nchi. Na kwa habari yetu pia, sisi tutamtumikia Yehova, kwa maana yeye ndiye Mungu wetu.”+
5 Huyu atasema: “Mimi ni wa Yehova.”+ Yule naye atajiita kwa jina la Yakobo,+ na mwingine ataandika juu ya mkono wake: “Mali ya Yehova.” Na mwingine atajiita kwa jina la Israeli.’+