7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
17 Yehova umemfanya aseme leo kwamba atakuwa Mungu wako unapotembea katika njia zake na kushika masharti+ yake na amri+ zake na maamuzi yake ya hukumu+ na kusikiliza sauti+ yake.