Yoshua 19:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa agizo la Yehova walimpa jiji ambalo aliomba,+ yaani, Timnath-sera,+ katika eneo lenye milima la Efraimu; naye akalijenga jiji hilo na kukaa ndani yake. Waamuzi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi wakamzika katika eneo la urithi wake kule Timnath-heresi+ katika eneo lenye milima la Efraimu, upande wa kaskazini wa Mlima Gaashi.+
50 Kwa agizo la Yehova walimpa jiji ambalo aliomba,+ yaani, Timnath-sera,+ katika eneo lenye milima la Efraimu; naye akalijenga jiji hilo na kukaa ndani yake.
9 Basi wakamzika katika eneo la urithi wake kule Timnath-heresi+ katika eneo lenye milima la Efraimu, upande wa kaskazini wa Mlima Gaashi.+