Yoshua 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo wanaume hao wakamwambia: “Nafsi zetu na zife badala yenu!+ Ikiwa hamtasema juu ya hii shughuli yetu, itatukia kwamba wakati Yehova atakapotupa nchi hii, sisi pia tutakutendea kwa fadhili zenye upendo na kwa uaminifu.”+ Waebrania 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa imani Rahabu+ yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliotenda kwa kutotii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa njia ya amani.+
14 Ndipo wanaume hao wakamwambia: “Nafsi zetu na zife badala yenu!+ Ikiwa hamtasema juu ya hii shughuli yetu, itatukia kwamba wakati Yehova atakapotupa nchi hii, sisi pia tutakutendea kwa fadhili zenye upendo na kwa uaminifu.”+
31 Kwa imani Rahabu+ yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliotenda kwa kutotii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa njia ya amani.+