Yoshua 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nanyi mtawahifadhi hai baba yangu+ na mama yangu na ndugu zangu na dada zangu na watu wao wote, nanyi mtazikomboa nafsi zetu kutoka katika kifo.”+ Yoshua 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama! Tutaingia katika nchi hii. Funga kamba hii ya uzi mwekundu katika dirisha ambalo ulitushushia, na baba yako na mama yako na ndugu zako na nyumba yote ya baba yako uwakusanye kwako ndani ya nyumba.+
13 Nanyi mtawahifadhi hai baba yangu+ na mama yangu na ndugu zangu na dada zangu na watu wao wote, nanyi mtazikomboa nafsi zetu kutoka katika kifo.”+
18 Tazama! Tutaingia katika nchi hii. Funga kamba hii ya uzi mwekundu katika dirisha ambalo ulitushushia, na baba yako na mama yako na ndugu zako na nyumba yote ya baba yako uwakusanye kwako ndani ya nyumba.+