Yoshua 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wanaume wa Ai wakawapiga na kuwaua karibu watu 36 kati yao, wakawafuatilia+ kutoka mbele ya lango mpaka Shebarimu, wakaendelea kuwapiga na kuwaua kwenye mteremko. Basi mioyo ya watu ikaanza kuyeyuka, ikawa kama maji.+
5 Na wanaume wa Ai wakawapiga na kuwaua karibu watu 36 kati yao, wakawafuatilia+ kutoka mbele ya lango mpaka Shebarimu, wakaendelea kuwapiga na kuwaua kwenye mteremko. Basi mioyo ya watu ikaanza kuyeyuka, ikawa kama maji.+