3 Nawe utaandika juu yake maneno yote ya sheria hii+ utakapokuwa umevuka,+ ili uingie katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nchi inayotiririka maziwa na asali, kulingana na yale ambayo Yehova Mungu wa mababu zako amesema nawe.+
3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+