Kutoka 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga kwenye sehemu ya chini ya huo mlima madhabahu na nguzo kumi na mbili zinazolingana na yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+ Kutoka 34:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+
4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga kwenye sehemu ya chini ya huo mlima madhabahu na nguzo kumi na mbili zinazolingana na yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+
27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+