Hesabu 32:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo wana wa Gadi na wana wa Rubeni wakamwambia Musa hivi: “Watumishi wako watafanya kama vile bwana wangu anavyoamuru.+ Waebrania 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+
25 Ndipo wana wa Gadi na wana wa Rubeni wakamwambia Musa hivi: “Watumishi wako watafanya kama vile bwana wangu anavyoamuru.+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+