Yoshua 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Kisha mkavuka Yordani,+ mkaja Yeriko.+ Nao wenye mashamba wa Yeriko, Waamori na Waperizi na Wakanaani na Wahiti na Wagirgashi, na Wahivi na Wayebusi wakaanza kupigana nanyi; lakini nikawatia mkononi mwenu.+ Zaburi 83:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wamesema: “Njooni, tuwafutilie mbali wasiwe taifa,+Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”+ Zaburi 83:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kwa moyo wameshauriana kwa umoja;+Naam, wakafanya agano dhidi yako,+
11 “‘Kisha mkavuka Yordani,+ mkaja Yeriko.+ Nao wenye mashamba wa Yeriko, Waamori na Waperizi na Wakanaani na Wahiti na Wagirgashi, na Wahivi na Wayebusi wakaanza kupigana nanyi; lakini nikawatia mkononi mwenu.+