Mwanzo 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Mhivi+ na Mwarkia na Msini Mwanzo 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, akamwona, kisha akamchukua, akalala naye, akamnajisi.+ Kutoka 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
2 Naye Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, akamwona, kisha akamchukua, akalala naye, akamnajisi.+
8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+