Ayubu 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, hekima haimo katikati ya wazee+Na uelewaji katika wingi wa siku? Ayubu 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nilisema, ‘Siku zinapaswa kusema,Na wingi wa miaka ndio unaopaswa kujulisha hekima.’+