4 Basi wao, kwa kupenda kwao wenyewe, wakatenda kwa werevu,+ wakajiwekea akiba ya vyakula na kuchukua magunia yaliyochakaa kwa ajili ya punda zao, na viriba vya divai vilivyochakaa, vilivyopasuka na kufungwa,+
22 Pia, hakuna mtu anayeweka divai mpya ndani ya viriba vya divai vilivyozeeka; akifanya hivyo, divai hupasua ngozi ya viriba hivyo, na divai hupotea na vilevile ngozi.+ Bali watu huweka divai mpya ndani ya viriba vipya vya divai.”+