Yoshua 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na Yoshua akateka Makeda+ siku hiyo, akalipiga kwa makali ya upanga. Naye akamwangamiza mfalme wake na kila nafsi iliyokuwamo ndani yake.+ Hakuacha mtu yeyote aokoke. Kwa hiyo akamtendea mfalme wa Makeda+ kama vile alivyomtendea mfalme wa Yeriko.
28 Na Yoshua akateka Makeda+ siku hiyo, akalipiga kwa makali ya upanga. Naye akamwangamiza mfalme wake na kila nafsi iliyokuwamo ndani yake.+ Hakuacha mtu yeyote aokoke. Kwa hiyo akamtendea mfalme wa Makeda+ kama vile alivyomtendea mfalme wa Yeriko.