Yoshua 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Kalebu akawafukuza kutoka huko wale wana watatu wa Anaki,+ yaani, Sheshai+ na Ahimani na Talmai,+ waliozaliwa kwa Anaki.+ Waamuzi 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Walipompa Kalebu jiji la Hebroni, kama alivyoahidi Musa,+ ndipo akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+
14 Basi Kalebu akawafukuza kutoka huko wale wana watatu wa Anaki,+ yaani, Sheshai+ na Ahimani na Talmai,+ waliozaliwa kwa Anaki.+
20 Walipompa Kalebu jiji la Hebroni, kama alivyoahidi Musa,+ ndipo akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+