Waamuzi 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na ikawa kwamba mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani, akaendelea kumchochea aombe shamba kutoka kwa baba yake. Kisha mwanamke huyo akapiga makofi akiwa juu ya punda.+ Basi Kalebu akamwambia: “Unataka nini?”
14 Na ikawa kwamba mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani, akaendelea kumchochea aombe shamba kutoka kwa baba yake. Kisha mwanamke huyo akapiga makofi akiwa juu ya punda.+ Basi Kalebu akamwambia: “Unataka nini?”