Yoshua 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa kwamba mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani, aliendelea kumchochea mume wake aombe shamba kutoka kwa baba-mkwe wake. Ndipo mwanamke huyo akapiga makofi akiwa juu ya punda. Naye Kalebu akamwambia: “Unataka nini?”+
18 Na ikawa kwamba mwanamke huyo alipokuwa akienda nyumbani, aliendelea kumchochea mume wake aombe shamba kutoka kwa baba-mkwe wake. Ndipo mwanamke huyo akapiga makofi akiwa juu ya punda. Naye Kalebu akamwambia: “Unataka nini?”+