1 Samweli 30:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na kwa wale waliokuwa Aroeri, na kwa wale waliokuwa Sifmothi, na kwa wale waliokuwa Eshtemoa,+ 1 Mambo ya Nyakati 6:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Nao wakawapa wana wa Haruni majiji ya makimbilio,+ Hebroni,+ pamoja na Libna+ na viwanja vyake vya malisho na Yatiri+ na Eshtemoa+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,
57 Nao wakawapa wana wa Haruni majiji ya makimbilio,+ Hebroni,+ pamoja na Libna+ na viwanja vyake vya malisho na Yatiri+ na Eshtemoa+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,