Kutoka 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nao watafanya Sanduku la mbao za mshita,+ mikono miwili na nusu urefu wake na mkono mmoja na nusu upana wake na mkono mmoja na nusu kimo chake. Yoshua 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Yoshua akawaambia makuhani: “Chukueni sanduku la agano,+ na mpite mbele ya watu.” Basi wakachukua sanduku la agano, wakapita mbele ya watu. Matendo 7:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Na mababu zetu waliolirithi waliliingiza pamoja na Yoshua+ ndani ya nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibaki humo mpaka siku za Daudi.
10 “Nao watafanya Sanduku la mbao za mshita,+ mikono miwili na nusu urefu wake na mkono mmoja na nusu upana wake na mkono mmoja na nusu kimo chake.
6 Kisha Yoshua akawaambia makuhani: “Chukueni sanduku la agano,+ na mpite mbele ya watu.” Basi wakachukua sanduku la agano, wakapita mbele ya watu.
45 Na mababu zetu waliolirithi waliliingiza pamoja na Yoshua+ ndani ya nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibaki humo mpaka siku za Daudi.