Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+

  • Waamuzi 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Yehova akaendelea kuwa na Yuda, naye akamiliki eneo lenye milima, lakini hakuweza kuwafukuza wakaaji wa ile nchi tambarare ya chini, kwa sababu walikuwa na magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.+

  • Waamuzi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wa Israeli wakaanza kumlilia Yehova,+ kwa sababu Yabini alikuwa na magari 900 ya vita yenye miundu ya chuma,+ naye kwa miaka 20 akawakandamiza wana wa Israeli+ kwa ukali.

  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki