Hesabu 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nayo hasira ya Mungu ikaanza kuwaka kwa sababu alikuwa akienda; na malaika wa Yehova akasimama barabarani ili kumzuia.+ Naye alikuwa amepanda juu ya punda-jike wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye.
22 Nayo hasira ya Mungu ikaanza kuwaka kwa sababu alikuwa akienda; na malaika wa Yehova akasimama barabarani ili kumzuia.+ Naye alikuwa amepanda juu ya punda-jike wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye.