Waamuzi 20:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wana wa Israeli walipogeuka katika lile pigano, Benyamini wakaanza kupiga karibu watu 30 waliokuwa na majeraha ya kufisha kati ya watu wa Israeli,+ kwa maana walisema: “Bila shaka wanashindwa mbele yetu kama ilivyokuwa katika pigano la kwanza.”+
39 Wana wa Israeli walipogeuka katika lile pigano, Benyamini wakaanza kupiga karibu watu 30 waliokuwa na majeraha ya kufisha kati ya watu wa Israeli,+ kwa maana walisema: “Bila shaka wanashindwa mbele yetu kama ilivyokuwa katika pigano la kwanza.”+