Yoshua 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini ninyi msisimame. Wafuatilieni adui zenu, nanyi mwapige upande wa nyuma.+ Msiwaache waingie katika majiji yao, kwa kuwa Yehova Mungu wenu amewatia mikononi mwenu.”+
19 Lakini ninyi msisimame. Wafuatilieni adui zenu, nanyi mwapige upande wa nyuma.+ Msiwaache waingie katika majiji yao, kwa kuwa Yehova Mungu wenu amewatia mikononi mwenu.”+