12 Hata hivyo, wakapata kutoka kwa wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wasichana mia nne, mabikira,+ ambao hawakuwa wamepata kulala na mwanamume. Basi wakawaleta kambini katika Shilo,+ ambalo liko katika nchi ya Kanaani.
14 Basi Benyamini akarudi wakati huo. Ndipo wakawapa wale wanawake ambao walikuwa wamewahifadhi hai kutoka kwa wanawake wa Yabesh-gileadi;+ lakini hawakupata wa kuwatosha.+