Waamuzi 20:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Nao watu wa Israeli wakarudi tena kupigana na wana wa Benyamini, wakaendelea kuwapiga kwa makali ya upanga wale wa jiji, kuanzia mwanadamu hata mnyama wa kufugwa hata wote waliopatikana.+ Pia wakayateketeza kwa moto majiji yote waliyoyaona.+
48 Nao watu wa Israeli wakarudi tena kupigana na wana wa Benyamini, wakaendelea kuwapiga kwa makali ya upanga wale wa jiji, kuanzia mwanadamu hata mnyama wa kufugwa hata wote waliopatikana.+ Pia wakayateketeza kwa moto majiji yote waliyoyaona.+