15 lazima utawapiga wakaaji wa jiji hilo kwa makali ya upanga.+ Uliharibu+ pamoja na kila kitu kilicho ndani yake, na wanyama wake wa kufugwa kwa makali ya upanga.
34 Basi wanaume elfu kumi waliochaguliwa kutoka katika Israeli yote wakaja mbele ya Gibea, na mapigano yalikuwa makali; na Wabenyamini hawakujua kwamba msiba+ ulikuwa unawakaribia.