Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na ikawa kwamba, mara tu mfalme wa Ai alipoona hilo, wanaume wa jiji lile wakafanya haraka, wakaamka mapema, wakatoka nje wakutane kupigana na Israeli, yeye na watu wake wote, kwa wakati uliowekwa, mbele ya ile nchi tambarare ya jangwa. Lakini yeye hakujua kwamba palikuwa na waliomvizia upande wa nyuma wa jiji.+

  • Waamuzi 20:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Watu wa Israeli wakageuka,+ na watu wa Benyamini wakafadhaika,+ kwa kuwa waliona kwamba msiba umewafikia.+

  • Methali 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+

  • Methali 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwenye furaha ni mtu anayehofu sikuzote,+ lakini yeye anayeufanya moyo wake kuwa mgumu ataanguka katika msiba.+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki