Waamuzi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami hakika nitamvuta kwako+ Sisera+ mkuu wa jeshi la Yabini+ na magari yake ya vita na umati wake, kwenye bonde la mto la Kishoni,+ nami hakika nitamtia yeye mkononi mwako.’”+ Waamuzi 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mto wa Kishoni ukawafagilia mbali,+Mto wa siku za kale, mto wa Kishoni.+Wewe ulikanyagia chini nguvu,+ ewe nafsi yangu. Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwatendee kama Midiani,+ kama Sisera,+Kama Yabini+ kwenye bonde la mto la Kishoni.+
7 Nami hakika nitamvuta kwako+ Sisera+ mkuu wa jeshi la Yabini+ na magari yake ya vita na umati wake, kwenye bonde la mto la Kishoni,+ nami hakika nitamtia yeye mkononi mwako.’”+
21 Mto wa Kishoni ukawafagilia mbali,+Mto wa siku za kale, mto wa Kishoni.+Wewe ulikanyagia chini nguvu,+ ewe nafsi yangu.