Waamuzi 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova akamwambia Gideoni: “Kwa watu hawa mia tatu walioramba nitawaokoa ninyi, nami nitatia Midiani mkononi mwako.+ Lakini hawa watu wengine wote na waende kila mmoja mahali pake.”
7 Yehova akamwambia Gideoni: “Kwa watu hawa mia tatu walioramba nitawaokoa ninyi, nami nitatia Midiani mkononi mwako.+ Lakini hawa watu wengine wote na waende kila mmoja mahali pake.”