Waamuzi 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo akawachukua hao wanaume wazee wa jiji na miiba ya nyikani na michongoma, naye akaitumia kuwafundisha somo watu wa Sukothi.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
16 Ndipo akawachukua hao wanaume wazee wa jiji na miiba ya nyikani na michongoma, naye akaitumia kuwafundisha somo watu wa Sukothi.+